• Mwanzo
  • Habari
  • Matukio
  • Masuala na Athari
  • Ujumbe na Rasilimali
    • Ipe Bustani Jina Jipya!
    • Kifuatilishi Kesi
    • Kifuatilishi cha kandarasi la SGR
    • Kielelezo
    • Ahadi za Uchaguzi 2022
  • Kuhusu
  • Wasiliana nasi
  • Kiswahili
    • English
    • Kiswahili
Okoa Mombasa yatangaza upya mahitaji ya kongamano la umma la kubadilisha jina la bustani la  “Mama Ngina Park”

Okoa Mombasa yatangaza upya mahitaji ya kongamano la umma la kubadilisha jina la bustani la “Mama Ngina Park”

by okoamombasa | Oktoba 19, 2022 | Habari

Okoa Mombasa imerejelea matakwa yake kwamba Bunge la Kaunti lifanye kikao cha hadhara kuhusu kubadilisha jina la bustani la “Mama Ngina Park.” Awali Okoa Mombasa iliwasilisha ombi kuhusu suala hilo mnamo Novemba 2019, mara tu baada ya bustani hiyo mpya...
Okoa Mombasa yapongeza notisi ya KPA ya kurejesha huduma za bandari

Okoa Mombasa yapongeza notisi ya KPA ya kurejesha huduma za bandari

by okoamombasa | Septemba 26, 2022 | Habari

Okoa Mombasa inapongeza notisi iliyochapishwa na Mamlaka ya Bandari za Kenya (KPA) hivi leo, ambayo ikitekelezwa ipasavyo, inafaa kurudisha huduma kamili za bandari Mombasa baada ya kutokuwepo kwa miaka zaidi ya mitatu. Notisi ya KPA inasema kwamba waagizaji bidhaa...
Okoa Mombasa ya mtaka Rais Ruto kufutilia agizo kwa maandishi

Okoa Mombasa ya mtaka Rais Ruto kufutilia agizo kwa maandishi

by okoamombasa | Septemba 21, 2022 | Habari

Okoa Mombasa leo imemtaka Rais William Ruto kugeuza mara moja – kwa maandishi – agizo la serikali linalotaka mizigo katika Bandari ya Mombasa kusafirishwa kwa kupitia Reli ya Standard Gauge (SGR). Rais Ruto alitangaza punde tu baada ya kuapishwa kama rais...
Serikali inapaswa kuheshimu mahakama na kuweka wazi kandarasi za SGR

Serikali inapaswa kuheshimu mahakama na kuweka wazi kandarasi za SGR

by okoamombasa | Mei 30, 2022 | Habari

Taarifa ya pamoja kwa vyombo vya habari kutoka Okoa Mombasa na TISA (The Institute for Social Responsibility) Iliwasilishwa tarehe 30 Mei 2022 na Wanjiru Gikonyo (TISA) kwa niaba ya TISA na Okoa Mombasa. Kama wengi wenu mnavyofahamu, tarehe 13 Mei, Mahakama Kuu ya...
Okoa Uchumi yazindua Kushinikiza Uwajibikaji wa Madeni ya Umma Kabla ya Uchaguzi

Okoa Uchumi yazindua Kushinikiza Uwajibikaji wa Madeni ya Umma Kabla ya Uchaguzi

by okoamombasa | Aprili 6, 2022 | Habari

Okoa Mombasa imejiunga na muungano wa zaidi ya Mashirika 15 ya Kiraia kuzindua Kampeni ya Okoa Uchumi – mpango ambao wenye lengo kuu la kukuza uwajibikaji katika usimamizi wa deni la umma nchini Kenya. Kampeni hiyo inasababishwa na hali mbaya ya usimamizi wa deni za...
Okoa Mombasa yajiunga na KCSPOG na Natural Justice Kenya kuwasilisha maoni kuhusu Kanuni za upatikanaji wa habari

Okoa Mombasa yajiunga na KCSPOG na Natural Justice Kenya kuwasilisha maoni kuhusu Kanuni za upatikanaji wa habari

by okoamombasa | Julai 7, 2021 | Habari

Okoa Mombasa, Jukwaa la Mashirika ya Kiraia ya Kenya kuhusu Mafuta na Gesi (KCSPOG) na Natural Justice Kenya wamewasilisha maoni ya pamoja kuhusu Rasimu ya Kanuni za Upatikanaji wa Taarifa (Jumla) za Kenya, 2021. Kanuni mpya zitabainisha jinsi Mashirika ya serikali...

Sign up for our newsletter

“Local Participation for Local Resources”  |  “Kuhusisha umma kwa rasilimali za umma”

Proudly based in Mombasa, Kenya. Contact us: okoamombasa@gmail.com  | Twajivunia kukita kambi Mombasa, Kenya. Wasiliana nasi: okoamombasa@gmail.com

  • Follow
  • Follow
  • Follow
  • Follow